Wajumbe wa bodi ya Hospital

BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA

Bodi ya ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma ina mchanganyiko wa wajumbe wenye sifa, ujuzi na uzoefu katika fani mbalimbali na imechaguliwa na mamlaka yenye dhamana ya uteuzi kwa ajili ya kusimamia utoaji wa huduma katika Hospitali hii.  Bodi hii ni kiunganishi kati ya Hospitali na Jamii ambayo inahakikisha kuwa Hospitali inatimiza malengo ya kuwepo kwake.

Bodi hii iliteuliwa na Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu. Uzinduzi wa bodi ulifanyika rasmi tarehe 30 Octoba 2019. Bodi hii itakuwa hai kwa kipindi cha miaka mitatu tangu ilipozinduliwa. 

WAFUATAO NI WAJUMBE WA BODI YA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA DODOMA 


JINA  CHEO
DR. EZEKIEL MPUYA MWENYEKITI
DR. IBENZI ERNEST KATIBU
DR. THOMAS RUTACHUNZIBWA MJUMBE
MH.MARY CHATANDA MJUMBE
MCHENYA JOHN MJUMBE
SALMA MOHAMEDY MJUMBE
RACHEAL MASIBO MJUMBE
WALTER D. LUNGU MJUMBE